HABARI

GSM imeondoa misaada Yanga SC

Kampuni ya GSM ambayo ni sehemu ya wadhamini wa Yanga SC imeiandikia barua club hiyo na kueleza kuwa imesitisha huduma zote ilizokuwa inazitoa kwa club hiyo nje ya mkataba wao kwa sababu ya kutuhumiwa kuwa inapora madaraka viongozi wa Yanga.

About the author

kidevu

Leave a Comment